MWENGE WA UHURU WAZINDUA UJENZI WA TANKI LA MAJI KIMINDOROSI
MWENGE WA UHURU WAZINDUA UJENZI WA TANKI LA MAJI KIMINDOROSI
Imewekwa: 13 July, 2026
Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2026, Ndugu Wazo Michael Mwang'onda amezindua mradi wa ujenzi wa tenki la maji Kimindorosi lenye ujazo wa lita elfu 50 kata ya Olasiti, mradi uliotekelezwa na AUWSA.