MRADI WA MLANGARINI WAENDELEA KWA KASI
MRADI WA MLANGARINI WAENDELEA KWA KASI
Imewekwa: 16 April, 2024
KAZI YA ULAZAJI BOMBA MRADI WA MLANGARINI IKIENDELEA
14 Aprili 2024
Ulazaji wa Bomba za Majisafi za zipenyo tofauti ukiendelea katika mradi wa Majisafi Mlangarini ambapo inatarajiwa kulazwa zaidi ya Kilometa 65, kazi hiyo inayofanywa na Mkandarasi ZONGII CONTRACTOR CO LIMITED inatarajiwa kukamilika ifikapo Desemba 2024
Mradi huo utakao wanufaisha wananchi zaidi ya 12000 wa kata za Moivaro na Mrangarini unagharimu kiasi cha Tzs Bilioni 3.6 ambapo itajumuisha ujenzi wa Tank la lita za ujazo 500000 ulazaji wa mabomba ya kusambaza maji urefu wa km 65